Skip to main content
Skip to main content

Serikali yasema itawapa walimu wa JSS ajira ya kudumu 2026

  • | Citizen TV
    118 views
    Duration: 1:41
    Katibu wa wizara ya elimu Elimu, Julius Bitok, amewahakikishia walimu wa sekiondari msingi kwamba serikali itawapa ajira ya kudumu kunzia mwaka ujao wa kifedha. Bitok alikuwa akizungumza eneo la Saos, Eldama Ravine, wakati wa mazishi ya Brian Kuto, mwana wa Mkuu wa Shule ya Wasichana ya Metkei, Rosemary Kuto, aliyefariki siku chache kabla ya mahafali yake.