Skip to main content
Skip to main content

Hazina ya kitaifa ya miundombinu itazinduliwa juma lijalo, itatumika kujenga mabwawa makubwa

  • | KBC Video
    267 views
    Duration: 3:48
    Rais William Ruto ametangaza kuwa hazina ya kitaifa ya miundombinu itazinduliwa wiki ijayo. Rais alisema hazina hiyo, ambayo imebuniwa kuvutia ufadhili hadi mara sita zaidi kutoka sekta ya kibinafsi, itasaidia kutafuta rasilimali kwa ajili ya maendeleo muhimu ya miundombinu nchini. Rais Ruto alizungumza leo wakati wa uzinduzi wa hifadhi ya vifaru ya Tsavo Magharibi katika eneo la Ngulia, kaunti ya Taita Taveta. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive