Skip to main content
Skip to main content

Wito watolewa kuhimiza uimarishaji wa mifumo ya uwekezaji barani Afrika

  • | KBC Video
    79 views
    Duration: 2:08
    Kuna hitaji la dharura la kuimarisha mifumo ya uwekezaji barani Afrika ili kufungua fursa za ukuaji wa muda mrefu na unaojitegemea. Ujumbe huu uliibuka wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Uwekezaji wa bara Afrika wa mwaka 2025 uliofanyika jijini Nairobi, ambapo viongozi wa fedha na sera kutoka kote barani walikusanyika. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive