- 128 views
Tukiendelea na masuala ya mazingira, wanaharakati wanazitaka nchi zilizostawi kutoa fedha walizoahidi wakati wa mkutano wa kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi wa cop 15. fedha hizo za kila mwaka ambazo ni billioni mia moja dola za marekani, zilipaswa kuwa kama fidia kwa mataifa yanayokabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi licha ya kuwa hayajachangia uharibifu wa mazingira. Fedha zilipangiwa kutumika katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya anga kama kiangazi cha muda mrefu na mafuriko.
Wanamazingira wafanya maandamano jijini Nairobi
- - 🔴LIVE|| TV47 WIKENDI ››
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - Indian cartoonist Rachita Taneja and Hong Kong's Zunzi were awarded the biennial Kofi Annan Courage in Cartooning Award on Friday, which is International Press Freedom Day.
- 4 May 2024 - Hope Hicks, a former top aide to Donald Trump, testified on Friday that staffers on his 2016 presidential campaign were alarmed when they learned that a tape in which he made lewd comments about women was about to be made public.
- 4 May 2024 - Assimilation of the corps into the mainstream military did away with restrictions imposed on women.
- 4 May 2024 - The 11-member select committee is expected to begin its work next Tuesday.
- 4 May 2024 - Survey shows the young workers want freedom to work from home or office.
- 4 May 2024 - The changes were adopted during a meeting chaired by Ruto at State House.
- 4 May 2024 - Nursing mothers at Kahawa Wendani Primary School face shortage of essential supplies like diapers, sanitary pads, and nutritious food.
- 4 May 2024 - The authority says the cyclone is expected to persist until May 6, 2024, and weaken thereafter.
- 4 May 2024 - It’s just a really great tune, TikTokkers say.
- 4 May 2024 - President Ruto is expected to travel to the US this month, which could catalyse the process.