- 418 views
Washukiwa wa shambulizi katika shule ya wasichana ya Kisima Samburu ya Kati kaunti ya Samburu walifikishwa mahakamani mjini Maralal . Wawili hao, Lenolngino Metinda na Mesau Ledunda walishtakiwa kwa kosa la kushambulia shule hiyo ya wasichana ya Kisima mnamo tarehe 24 Septemba mwaka huu na kuiba ng'ombe kumi wenye dhamana ya shilingi milioni moja. Lenolngino na Mesau ni wawili tu miongoni mwa wengine ambao walikamatwa. Watuhumiwawa walikiri mashtaka n akurudishwa kizuizini. Kesi hiyo itasikilizwa tarehe 28 mwezi ujao.
Washukiwa wa shambulizi la shule kaunti ya Samburu wafikishwa mahakamani
- - Duniani Leo ››
- 30 Apr 2024 - Tuju had accused the lender of never paying the full loan amount.
- 30 Apr 2024 - Local leaders say various agencies are trying to repair the road.
- 30 Apr 2024 - Western region has been racked by political upheavals.
- 30 Apr 2024 - Kenyan retailers ready to pounce as Ethiopia to open up market
- 30 Apr 2024 - At least 48 killed after dam burst its banks
- 30 Apr 2024 - Flood of death
- 30 Apr 2024 - Poor investment climate hinders climate financial flows into Africa
- 30 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The government will now leverage technology and involve chiefs especially in border and cosmopolitan counties in the registration and issuance […]
- 30 Apr 2024 - •For in the world of football, as in life, it is not the victories that define us but the legacy we leave behind.
- 30 Apr 2024 - Wabule aims for a better outcome than last year's fifth-place finish in the championships held in Rwanda.