- 985 viewsDuration: 1:36Idadi ya watu waliofariki baada ya Kukanyagwa na ndovu katika eneo bunge la Kajiado Magharibi chini ya wiki moja imefikia watu wanne baada ya mwanaume mwenye umri wa miaka 40 kuuawa na ndovu katika eneo la Ilkiroti jana jioni.