Skip to main content
Skip to main content

Kampuni ya KETRACO yaamrishwa kumrudisha kazini Wamukota

  • | Citizen TV
    169 views
    Duration: 1:07
    Mahakama ya Ajira jijini Nairobi imebatilisha uamuzi wa kampuni ya KETRACO wa kumsimamisha kazi Mhandisi Antony Wamukota, ikitaja hatua hiyo kuwa kinyume cha Katiba, na inayokiuka haki za msingi za mfanyakazi.