Skip to main content
Skip to main content

Jamii ya Abasuba yaonyesha utamaduni wake kisiwani Rusinga

  • | Citizen TV
    314 views
    Duration: 3:12
    Jamii ya Abasusa  inayoishi katika kisiwa cha Rusinga inaomba serikali kusaidia jamii ndogo ndogo humu nchini kuhifadhi tamaduni zao. wakisherekea tamasha ya utamaduni wao awamu ya 14 , jamii hiyo ilipata nafasi kuonyesha mila na tamaduni zao kwa njia ya densi na vyakula.