Skip to main content
Skip to main content

Wafungwa gerezani Lodwar wapewa zawadi na kuhimizwa kuzingatia maadili

  • | Citizen TV
    195 views
    Duration: 1:39
    Wafungwa katika gereza la Lodwar wametakiwa kuwa na nidhamu wanapotumikia kifungu chao huku wakihimizwa kukumbatia elimu na kupata ujuzi wa kiufundi gerezani. Akizungumza alipowatembelea wafungwa hao kusherekea pamoja sherehe za Krisimasi ,gavana wa Turkana Jeremiah Lomorukai amewataka wafungwa watakamaliza kifungo chao wazingatie maadili. Gavana Lomorukai ametoa fahali sita na bidhaa nyingine muhimu kwa wafungwa hao ili kusherekea Krisimasi huku akizindua studio ya muziki itakayowasaidia wafungwa wenye talanta ya muziki