Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Trans Nzoia yatoa chanjo ya mifugo ya maradhi ya midomo na miguu

  • | Citizen TV
    570 views
    Duration: 1:51
    Serikali imeanzisha mpango wa chanjo kwa mifugo katika Kaunti ya Trans Nzoia ili kuwalinda wafugaji dhidi ya hasara wakati wa msimu wa Krismasi. Mifugo zaidi ya laki moja unusu inachanjwa dhidi ya ugonjwa wa Midomo na Miguu ili kuboresha afya ya mifugo na uzalishaji wa maziwa na nyama.