Kutoka kwa fuo za Pasifik na maeneo ya burudani ya miji mikuu ya ulimwengu, ulimwengu kwa mara nyingine uliukaribisha mwaka mpya. Mwaka mpya wa 2026 uliwasili kwa mbwembwe na sherehe za aina yake duniani kote kutoka mashariki hadi magharibi. Haya yakijiri huku Pope Leo wa kumi na nne akitoa wito kwa jamii ya kimataifa kukumbatia amani. Ripota wetu Aaron Marie, anaangazia jinsi mambo yalivyokuwa katika baadhi ya maeneo ya ulimwengu.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive