Skip to main content
Skip to main content

Mgonjwa wa figo aliyetekwa nyara siku ya Krismasi Mombasa hatimaye aachiliwa

  • | KBC Video
    2,293 views
    Duration: 3:18
    Mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 44 ambaye alitekwa nyara na watu wenye silaha huko Mombasa ameungana tena na familia yake baada ya kutekwa nyara kwa siku tisa.Harrison Nyamu, ambaye alitekwa nyara siku ya Krismasi nyumbani kwake Changamwe, amesimulia mateso aliyoyapitia na kukosa kupewa matibabu kabla ya kuachiliwa Januari tarehe 2 katika eneo la Vipingo, Kaunti ya Kilifi.Watetezi wa haki za binadamu wamelaani kitendo hicho huku wakitaka uchunguzi kufanywa ili hatua zifaazo zichukuliwe dhidi ya waliohusika. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive