- 5,781 views
Heri tendo moja jema kuliko mamilioni ya nia njema.
Hivi ndivyo wavyele walivyosema.
Kutana na askari polisi Edward Akoko kutoka kituo cha polisi Mariakani.
Akoko alitawala kwenye mtandao wiki iliyopita baada ya kumtunuku kijana George na viatu aina ya ‘slippers’
George Charo Ngowa kijana mwenye umri wa miaka kumi na mitano anasomea shule ya msingi ya Minyenzeni huko Mariakani kata ndogo ya Kaloleni,Kilifi Kaunti.
Kama kawaida yake akielekea shule miguu chuma,Afisaa Akoko alimuita na kumshauri amuone anaporudi nyumbani kwa chamcha.
Kama kawaida polisi anapokuita na si mazoea basi mtu huwa na hofu.
Pindi tu muda ulipofika,akiwa na wenzake wakielekea nyumbani huku akihofia alishurutishwa na wenzake wapiti karibu na huyo afisaa.
Shingo upande George alijipeleke hapo ndio akatunukiwa viatu vya champali.
Kulingana na mamake,Jumwa Ngala,hakutarajia mtoto wake kuja nyumbani na viatu bipya na alidhania huenda akawa ameiba hivyo basi akaanza kumdadisi.
Hakutosheka na maelezo yake hadi alipouliza marafiki zake ndio roho ikamtulia akaamini kwamba alipewa viatu hivyo na askari polisi.
Ni nadra sana katika jamii kuona askari kama huyu akijinyima ili kuona kwamba kijana anaonekana nadhifu.
Katika mahojiano na afisaa huyo,aliele
Mariakani police officer helps boy in Kaloleni, Kilifi
- - Outro ››
- 11 May 2025 - The perennial posting of intern doctors, a longstanding issue pitting the Ministry of Health against the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU), was the main cause of the strike that lasted nearly two months last year.
- 11 May 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has expressed confidence in securing justice over his removal from office.
- 11 May 2025 - Columbia University has suspended more than 65 students for their role in a pro-Palestinian demonstration that forced the shutdown of the main campus library, a school official said on Friday.
- 11 May 2025 - Bangladesh’s interim government has banned all activities of the Awami League, the political party of deposed former Prime Minister Sheikh Hasina, under the country’s Anti-Terrorism Act, citing national security concerns.
- 11 May 2025 - The new pope, Leo XIV, has something in common with many of his peers in the Catholic hierarchy. He's been in positions of authority when accusations of sexual abuse have arisen against priests under his supervision.
- 11 May 2025 - Gachagua also sent a request to his supporters ahead of the launch.
- 11 May 2025 - Citizen TV has been ranked the 4th Most Distinctive, Reliable, and Quality Brand in Kenya in the 2024 Consumer Survey by Superbrands East Africa, a global authority in branding, operating in over 90 countries.
- 11 May 2025 - An overcrowded bus carrying dozens of Buddhist pilgrims plummeted into a precipice in Sri Lanka on Sunday, killing at least 21 and injuring 24, a senior transport official said.
- 11 May 2025 - Along with the spiritual leadership of the world's 1.4 billion Catholics, Pope Leo XIV now inherits oversight of the Vatican's shoddy finances -- and his predecessor's efforts to clean them up.
- 11 May 2025 - Pope Leo XIV will greet the crowd from the balcony of St Peter's Basilica on Sunday, leading a prayer to the Virgin Mary in his second official public appearance since becoming the leader of the Catholic Church.