- 5,781 views
Heri tendo moja jema kuliko mamilioni ya nia njema.
Hivi ndivyo wavyele walivyosema.
Kutana na askari polisi Edward Akoko kutoka kituo cha polisi Mariakani.
Akoko alitawala kwenye mtandao wiki iliyopita baada ya kumtunuku kijana George na viatu aina ya ‘slippers’
George Charo Ngowa kijana mwenye umri wa miaka kumi na mitano anasomea shule ya msingi ya Minyenzeni huko Mariakani kata ndogo ya Kaloleni,Kilifi Kaunti.
Kama kawaida yake akielekea shule miguu chuma,Afisaa Akoko alimuita na kumshauri amuone anaporudi nyumbani kwa chamcha.
Kama kawaida polisi anapokuita na si mazoea basi mtu huwa na hofu.
Pindi tu muda ulipofika,akiwa na wenzake wakielekea nyumbani huku akihofia alishurutishwa na wenzake wapiti karibu na huyo afisaa.
Shingo upande George alijipeleke hapo ndio akatunukiwa viatu vya champali.
Kulingana na mamake,Jumwa Ngala,hakutarajia mtoto wake kuja nyumbani na viatu bipya na alidhania huenda akawa ameiba hivyo basi akaanza kumdadisi.
Hakutosheka na maelezo yake hadi alipouliza marafiki zake ndio roho ikamtulia akaamini kwamba alipewa viatu hivyo na askari polisi.
Ni nadra sana katika jamii kuona askari kama huyu akijinyima ili kuona kwamba kijana anaonekana nadhifu.
Katika mahojiano na afisaa huyo,aliele
Mariakani police officer helps boy in Kaloleni, Kilifi
- 3 Jul 2025 - President William Ruto on Wednesday witnessed the signing of Memorandum of Understandings (MoUs) with learning institutions in the United Kingdom.
- 3 Jul 2025 - The National Police Service (NPS) is on high alert to avoid publishing false or inconsistent reports of incidences, particularly those concerning persons held in custody for various reasons.
- 3 Jul 2025 - Kariuki was confirmed dead on June 30 after weeks in intensive care.
- 3 Jul 2025 - The youth sort to stop opposition politicians from accessing the region.
- 3 Jul 2025 - The changes will come into effect next month.
- 3 Jul 2025 - The Kenya Medical Supplies Authority (KEMSA) has launched a two-week annual stocktaking exercise to strengthen the national health supply chain.
- 3 Jul 2025 - Kenyans have shared mixed reactions to the revelation of now resurfaced blogger Ndiang'ui Kinyagia after his lawyer shared that the IT expert, who disappeared on June 20, had been in hiding all along - and not in the custody of security agents as had…
- 3 Jul 2025 - Blogger Ndiang’ui Kinyangia, who had been reported missing for days, finally appeared in court on Thursday morning, bringing to an end a frantic search by his family, legal team, and concerned Kenyans.
- 3 Jul 2025 - Blogger Ndiang’ui Kinyangia, who had been reported missing for days, finally appeared in court on Thursday morning, bringing to an end a frantic search by his family, legal team, and concerned Kenyans.
- 3 Jul 2025 - Nairobi Women Representative Esther Passaris’ proposal to cordon protests to designated zones has been opposed by a slew of parliamentarians and politicians who cite the violation of constitutional rights.