Skip to main content
Skip to main content

Wanasiasa wa ODM wafanya mikutano Nairobi huku chama kikijiandaa kwa uchaguzi mwaka ujao

  • | Citizen TV
    2,371 views
    Duration: 1:47
    Siku moja baada ya mjane wa marehemu kinara wa ODM Raila Odinga kutaka wanasiasa wa chama hicho kuhakikisha umoja wa chama hicho, baadhi ya wanasiasa wamefanya mikutano hii leo hapa Nairobi. Baadhi ya waliokutana wakisema kuwa ODM inajiandaa kuhakikisha inakuwa debeni mwaka ujao