Skip to main content
Skip to main content

Rais Museveni atetea ushindi wake huku wapinzani wakishutumiwa

  • | Citizen TV
    2,437 views
    Duration: 2:49
    Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ametetea ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu wa alhamisi, akiwashutumu viongozi wa upinzani kwa kile amekitaja kama kujaribu kuvuruga amani. Museveni amehutubia taifa siku moja baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi huo mkuu huku waangalizi wa afrika wa uchaguzi huo wakisema uchaguzi huo uliandaliwa kwa njia huru na ya amani.