Skip to main content
Skip to main content

Winnie na Junior Odinga wawashutumu wanaodaiwa ‘kuteka’ ODM, waapa kukikomboa chama

  • | Citizen TV
    10,998 views
    Duration: 3:18
    Tofauti katika chama cha ODM zimeendelea huku sasa wanawe marehemu kinara wa ODM Raila Odinga wakiwasuta wale wanaosema wameteka chama hicho. Mbunge wa Yala Winnie Odinga na nduguye Junior Odinga sasa wakisema hawatababishwa kutoa misimamo yao wakisema wataongoza juhudi za ku;kikomboa chama kutoka kwa wale wanaosema wamekiteka nyara. Wawili hawa walihudhuria ibada na kushiriki mkutano wa kisiasa eneo la Kibra