Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Kenya Kwanza wamshambulia Rigathi Gachagua kwa siasa za mgawanyiko Mlima Kenya

  • | Citizen TV
    1,504 views
    Duration: 2:42
    Viongozi wa Kenya Kwanza wameendelea kukosoa mfumo wa siasa za kinara wa DCP Rigathi Gachagua wakimlaumu kwa kujaribu kulitenga eneo la mlima Kenya katika masuala ya maendeleo ya serikali. Wakizungumza kwenye hafla tofauti kaunti za Meru na Kirinyaga, wanasiasa wa Kenya Kwanza pia walimzomea kwa kile wanasema ni kuanza kuporomoka kwa chama cha cha DCP