Skip to main content
Skip to main content

Vijana wawili wafariki baada ya kuzama kwenye bwawa Kabete

  • | Citizen TV
    970 views
    Duration: 1:35
    Vijana wawili wamefariki baada ya kuzama kwenye bwawa lililo karibu na mto Gatara eneo la Kabete kaunti ya Kiambu. Vijana hawa wamefariki walipokuwa wakirejea nyumbani kutoka kanisani