Skip to main content
Skip to main content

Familia Kasipul yawakosa jamaa aliyeondoka Urusi kwa kazi ya kijeshi

  • | Citizen TV
    1,649 views
    Duration: 3:09
    Familia moja katika eneo la Kasipul kaunti ya Homa Bay ni ya punde zaidi kujitokeza kutoa kilio cha jamaa yao aliyeondoka kwenda nchini urusi na sasa hajulikani aliko. Kwa mujibu wa familia ya Duncan Otieno, jamaa yao alikuwa ameahidiwa kazi nchini Uturuki ila alipoondoka, aliwasiliana nao kuwaarifu kuwa alisafirishwa hadi urusi kuhudumu kama mwanajeshi