Skip to main content
Skip to main content

Afueni ya wakulima na wafugaji kaunti ya Garissa huku wakipokea habari kuhusu utabiri kupitia simu

  • | Citizen TV
    265 views
    Duration: 1:52
    Wakulima na wafugaji kutoka kaunti ya Garissa sasa watakuwa wakipokea habari kuhusu utabiri wa hali ya hewa kwenye simu zao za rununu ili kujiandaa na kujiepusha na hasara zinazosababishwa na ukame na mafuriko.