21 Jan 2026 10:07 am | Citizen TV 1,774 views Duration: 2:06 Polisi katika eneo bunge la Konoin wanamzuilia mwanamume mwenye umri wa miaka 25 kwa madai ya kumuua babake kwa kumdunga kisu kufuatia mzozo wa kinyumbani usiku wa kuamkia jana.