- 4,530 viewsDuration: 4:40Mwili wa Kijana mmoja umepatikana Leo asubuhi baada ya kuvamiwa na kuuawa na na genge la watu wasiojulikana. Mwili huo uliokuwa na alama za kudungwa na kisu umechukuliwa na maafisa wa polisi Katika eneo la pinewood Nakuru mashariki huku wakazi sasa wakilalamikia utovu wa usalama Katika maeneo hao, wafanyibiashara.