- 12,299 viewsDuration: 2:47Mtu mmoja amefariki na mwingine kujeruhiwa kufuatia ajali iliyotokea katika barabara ya southern by pass jijini Nairobi. Trela moja iliyokuwa ikisafirisha mafuta ya ndege inaripotiwa kukosa mwelekeo na kuanguka kabla ya kugonga trela nyingine na kulipuka. Magari mengine matatu yaliharibika kufuatia kisa hicho.