- 368 viewsDuration: 3:13Licha ya kuwepo kwa sheria ya kuzuia unyanyapaa wa wajane humu nchini, maelfu bado wanakumbwa na madhila. Mara nyingi kupokonywa urithi kumekuwa changamoto kubwa kwa wajane na wana wao, wengine hata wakikosa nyumba za kuwasitiri. Hata hivyo, mradi wa ujenzi unaolenga wajane unabadilisha dhana hiyo na kuwapa matumaini.