Skip to main content
Skip to main content

Nairobi United yafanya mazoezi mepesi kabla ya kukabili Azam ya Tanzania

  • | Citizen TV
    293 views
    Duration: 1:02
    Timu ya Nairobi united leo iliandaa mazoezi mapesi uwanjani nyayo kabla ya kuikabili azam ya Tanzania hapo kesho katika mechi ya tatu ya raundi ya makundi ya kombe la mashirikisho barani Afrika