Skip to main content
Skip to main content

Mfanyabiashara George Gathu azikwa Gikororo Mathira baada ya kuuawa na polisi

  • | Citizen TV
    497 views
    Duration: 1:32
    Mfanyabiashara George Gathu, aliyeuawa kwa Kupigwa risasi na afisa wa polisi mjini Karatina siku 10 zilizopita amezikwa nyumbani kwao kijijini Gikororo eneo bunge la Mathira kaunti ya Nyeri, huku kilio cha haki kwa familia yake kikisheheni