Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa jamii ya Adam Ali waonya wanasiasa wanaodai kupata idhini yao kuwania ugavana Garissa

  • | Citizen TV
    460 views
    Duration: 1:53
    Wazee wa jamii ya Adam Ali kutoka   Authaq wamefutilia mbali vikali madai yanayosambazwa na baadhi ya wazee wakidai kuwa mgombea wa kiti cha ugavana wa kaunti hii, Mhandisi Mohamed Mowlid Shuriye, amebakishwa na  kumuunga mkono Gavana Ali Korane.