Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Nairobi yaanzisha mfumo wa malipo wa LiquorPay

  • | Citizen TV
    437 views
    Duration: 1:43
    Serikali ya Kaunti ya Nairobi imezindua mfumo wa kidijitali wa LiquorPay, unaolenga kubadilisha utoaji wa leseni za pombe kwa kupunguza urasimu, kuondoa karatasi na kutoa huduma za haraka na zenye uwazi zaidi.