- 1,435 viewsDuration: 2:32Familia moja kutoka Nairobi inamsaka jamaa yao aliyetoweka tarehe 23 Januari Mombasa. Kwa siku 10 sasa, familia ya Desmond Barrack Odhiambo imekuwa ikihangaika kutoka vituo vya polisi hadi kambi za chifu wakitafuta usaidizi wa kumpata jamaa huyo.