Vifo Mpakani": Africa Eye inachunguza moja ya siku mbaya zaidi mipakani huko Ulaya
Mnamo Juni 2022, video za kutisha zilianza kusambazwa mtandaoni, zikionyesha mapigano makali kati ya Wahamiaji wa Kiafrika na walinzi wa mpaka wa Morocco.
Walirekodiwa katika sehemu ambayo Morocco inakutana na Uhispania - lango la kuingia Ulaya na kuonyesha miili ya Wahamiaji wa Afrika wakitupwa chini, kupigwa na kupondwa pondwa.
Watu ishirini na nne walifariki katika tukio hilo na wengine wengi bado hawajulikani walipo.
Africa Eye imethibitisha makumi ya video, zenye ushuhuda uliokusanywa kutoka kwa walionusurika na kupata nafasi adimu ya kufika barabara ya mpakani na kuandaa tarifa ya uchunguzi wa kina zaidi wa mkasa huo na kuuuliza je haikuwezeana kuzuilika?
#bbcswahili #africaeye #uhamiaji
24 Aug 2025
- The new appointments come amid a raft of appointments by President Ruto.
24 Aug 2025
- The hospital management will take legal action after a 14-day lapse.
24 Aug 2025
- Images from scene show the matatu completly wrecked.
24 Aug 2025
- Kenya is facing a critical test of its health system after the United States paused foreign assistance in
24 Aug 2025
- Police yet to issue a formal statement on the cause of the crash.
24 Aug 2025
- The new appointments come amid a raft of appointments by President Ruto.
24 Aug 2025
- Tanzanian music artiste Rayvanny has shared insights into the power of strategic collaborations, citing Diamond Platnumz as a
24 Aug 2025
- No one is safe in this goons paradise, thriving courtesy of a police service that looks the other way whenever the political class unleash their gangsters.
24 Aug 2025
- The hospital management will take legal action after a 14-day lapse.
24 Aug 2025
- Stepping into university or college is one of the most exciting and transformative periods in any student’s life.
24 Aug 2025
- Eyes on Zurich as Team Kenya posts mixed results in Brussels
24 Aug 2025
- Why DPP Ingonga is weak link in fight against corruption
24 Aug 2025
- Gen Zs must join political parties ahead of 2027