Skip to main content
Skip to main content

Serikali kuanzisha miradi wa Ksh.200m wa kuhifadhi vinamasi

  • | Citizen TV
    153 views
    Duration: 1:50
    Serikali inalenga kuanzisha mradi wa shilingi milioni 200 wa kuboresha na kurejesha hali ya sehemu chepechepe zilizoharibiwa katika kaunti 12 ili kuhifadhi mazingira. Mradi huo utakaotekelezwa na mamlaka ya mazingira nchini (NEMA) na idara ya misitu (KFS) utashirikisha miungano ya jamii ya misitu (CFA) na unatarajiwa kuanza mwezi julai mwaka huu.