Skip to main content
Skip to main content

Msemaji wa serikali Isaac Mwaura atetea hatua zilizopigwa dhidi ya ufisadi

  • | Citizen TV
    46 views
    Msemaji wa serikali Isaac Mwaura ametetea kasi ya serikali katika kupambana na ufisadi. Mwaura kwenye kikao na wanahabari akisema kuwa, maafisa kadhaa wa umma waliopatikana na kesi za ufisadi wamelazimishwa kuondoka ofisini, wakiwemo wakuu wa mashirika