Skip to main content
Skip to main content

Maseneta wadai magavana wanakwepa uwajibikaji, magavana wadai maseneta wanawanyanyasa.

  • | KBC Video
    71 views
    Duration: 3:43
    Malumbano kati ya magavana na maseneta yanaonekana kuchacha huku maseneta wakiwatuhumu magavana kwa kutumia ujanja kuepuka kuwajibikia matumizi ya pesa za umma. Mwenyekiti wa kamati ya seneti kuhusu uhasibu wa fedha za umma kwenye kaunti, Moses Kajwang na mwenzake wa kamati ya uwekezaji katika kaunti, Godfrey Osotsi, kwenye mahojiano na shirika la utangazaji humu nchini, KBC walionya kuwa magavana wanaokaidi mwaliko wa kufika mbele ya kamati za bunge hilo watawajibishwa na mgao wa bajeti kwa kaunti zao kusitishwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive