- 11 views
Wadau katika sekta ya elimu katika maeneo kame wana wasiwasi kwamba huenda watahiniwa wa mitihani ya kitaifa mwaka huu wakakosa kufanya mitihani hiyo kutokana na ukame uliokithiri. Katika eneo bunge la Tiaty kaunti ya Baringo, wanafunzi wengi wameacha shule na kuungana na wazazi wao kutafuta lishe na maji. Wasomi katika maeneo hayo sasa wanatoa wito kwa serikali ya kitafa kuingilia kati ili kuhakikisha kuwa watahiniwa wa eneo hilo watafanya mitihani yao ya kitaifa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #ukame #News #mtihaniwakitaifa
Makali ya ukame | Wadau waelezea hofu ya wanafunzi kukosa mitihani
- 3 Jul 2025 - Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku says many government workers in Kenya are underpaid, citing limited revenue and a stretched wage bill as key obstacles to improving their compensation.
- 3 Jul 2025 - A 50-year-old man was burned to death in the Sungubo area, Kisii County, after killing his wife.
- 3 Jul 2025 - A 50-year-old man was burned to death in the Sungubo area, Kisii County, after killing his wife.
- 3 Jul 2025 - With South Sudan's President Salva Kiir undergoing medical tests abroad after years of rumours about his health, analysts say a long-gestating plan has been set in motion to secure his succession.
- 3 Jul 2025 - The house was constructed on the family's land in Kokwanyo village in Kabondo Kasipul.
- 3 Jul 2025 - Nairobi collects the highest revenue among the 47 counties.
- 3 Jul 2025 - U.S. President Donald Trump will host leaders from five African nations in Washington next week to discuss "commercial opportunities," a White House official said on Wednesday.
- 3 Jul 2025 - Liverpool star Diogo Jota has died following a car crash in northern Spain at the age of 28.
- 3 Jul 2025 - Mwengi Mutuse was the mover of the motion that led to Rigathi Gachagua's impeachment.
- 3 Jul 2025 - Matiang'i says he's ready for State House battle, party still a mystery