- 2,402 views
Mahakama kuu jijini Nairobi imemtaka wakili na dalali katika kesi ya ubomozi wa jumba la Niraj Shah na mkewe Avani Shah katika mtaa wa Westlands waeleze kupitia hatikiapo sababu ya kutekeleza ubomozi huo bila idhini ya mahakama jaji Oscar Angote amesema mahakama imebainisha kuwa amri ya mahakama kuhusu jumba hilo la shilingi milioni 80 haikumruhusu dalali kubomoa nyumba hiyo. Jaji Angote ameamuru maelezo zaidi kutolewa kabla ya ijumaa wiki hii, huku kesi hiyo ikitarajiwa kusikizwa siku ya jumatatu. Upande wa mashtaka uliomba siku kumi na nne kumzuia dalali aliyehusika na ubomozi huo zachary baraza. Uamuzi kuhusu iwapo baraza ataachiliwa kwa dhamana au la utatolewa kesho.
Dalali aliyebomoa jumba mtaani westlands afikishwa mahakamani
- 5 Jul 2025 - Syrian rescuers were evacuating residential areas in the coastal Latakia province because of major forest fires, authorities said on Friday.
- 5 Jul 2025 - More than 500 people have been killed in the vicinity of the US- and Israel-backed Gaza Humanitarian Foundation's sites since late May, the United Nations said Friday.
- 5 Jul 2025 - Burkina Faso has withdrawn the licences of four foreign NGOs to operate in the junta-led country and suspended two other associations, according to decrees seen by AFP on Friday.
- 5 Jul 2025 - The family of Albert Ojwang has now appealed to Kenyans to continue with the push for justice for the slain teacher.
- 5 Jul 2025 - Two police officers have been convicted of murder by the Eldoret High Court for the torture and subsequent killing of Denis Lusava, whose body was dumped in River Nzoia in October 2022.
- 5 Jul 2025 - Family mourns their only child killed during Gen Z protest
- 5 Jul 2025 - Gachagua on police radar for allegedly funding protests
- 5 Jul 2025 - Deputy President Prof. Kithure Kindiki has defended President William Ruto and the Kenya Kwanza administration against opposition criticism, asserting that the government remains focused on delivering meaningful development and economic empowerment to…
- 5 Jul 2025 - With just 10 days left before the mandate of the UN Integrated Office in Haiti expires, UN officials are raising alarm over the country’s deepening crisis.
- 5 Jul 2025 - ODM leader Odinga's turf on Friday called for the arrest and prosecution of Deputy Inspector General of Police Eliud Lagat as the body of slain teacher Albert Ojwang was laid to rest