Skip to main content
Skip to main content

Serikali yawaonya maafisa wa utawala dhidi ya kuelekeza kwingine misaada

  • | KBC Video
    215 views
    Duration: 2:41
    Serikali imewaonya dhidi ya kuelekeza kwingine misaada ya chakula inayokusudiwa kusaidia familia zinazoathiriwa na ukame katika baadhi ya maeneo ya nchi hii. Waziri wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku aliyekuwa kaunti ya Wajir, alisema serikali imeimarisha usambazaji wa chakula na hatua nyingine kupunguza makali ya ukame unaoshuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya taifa hili. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive