16 Feb 2026 7:42 pm | Citizen TV 136 views Duration: 1:20 Mahakama ya Nakuru itatoa uamuzi kuhusu iwapo maafisa sita wa shirika la huduma za wanyamapori wanaodaiwa kuhusika na kutoweka kwa mvuvi Brian Odhiambo, wana kesi ya kujibu au la, tarehe 3 Machi mwaka huu