- 1,290 viewsDuration: 3:03Mshukiwa mmoja amekamatwa na simu zaidi ya ishirini kunaswa pamoja na vifaa vya kusafisha mfumo wa simu hizo. Kulingana na idarab ya upelelezi, simu nyingi zinazoibiwa huishia nchi za Tanzania,Uganda , Rwanda na Burundi. Katika operesheni ya kuwanasa wahusika ,eneo la Kericho lilipatikana kuwa eneo wanalotumia sana kusafisha mfumo wa simu hizi baada ya kuibiwa.