Skip to main content
Skip to main content

Matumaini mapya dhidi ya HIV | Lenacapavir yawasili Kenya kuzuia maambukizi ya virusi hivyo

  • | Citizen TV
    1,657 views
    Duration: 3:39
    Ni matumaini mapya kwa wanandoa wasio na hali sawa ya maambukizi ya HIV, baada ya kenya kupokea sindano ya kuzuia maambukizi ya virusi hivyo. Dawa hiyo ya Lenacapavir inayodungwa mara mbili kwa mwaka imesifiwa kuwa ya matumaini makubwa katika mapambano dhidi ya ukimwi. Wataalamu wa afya wasema dawa hii ni mwanzo mpya katika uvumbuzi wa afya na mapambano ya HIV.