Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili waliohusishwa na uporaji wa simu wauawa na umma jijini Nairobi

  • | Citizen TV
    17,082 views
    Duration: 2:42
    Washukiwa wawili waliohusishwa na uporaji wa simu waliuawa na umma hapo jana hapa jijini Nairobi. Wawili hao walihusishwa na genge lililowavamia kwa kutumia bodaboda na kuwapora wapita njia, wakiwemo maafisa wa polisi. Polisi wanasema washukiwa kadhaa wamekamatwa na wanawasaka wengine waliohusishwa na tukio hilo baada ya hafla ya rais William Ruto ya kukagua mradi wa maji taka eneo la Lucky Summer