- 11,539 viewsDuration: 2:33Mwenyekiti wa ODM Gladys Wanga na Gavana wa Kakamega Fernandez Barasa wamesema kwamba wataendelea kumuunga mkono kinara wa chama hicho Oburu Oginga licha ya pingamizi kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa chama hicho. Kwengineko, wanasiasa wa UDA kutoka eneo la Magharibi wameendelea kumlaumu rais mstaafu Uhuru Kenyatta, kwa kuvuruga hatua ya ODM kuungana na ODM kwenye uchaguzi wa mwakani