Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa kidini Kilifi wanahimiza amani

  • | Citizen TV
    174 views
    Duration: 2:13
    Viongozi wa kidini katika kaunti ya Kilifi wameitaka serikali Sawia Na wakenya Kwa ujumla kudumisha Amani Na usalama Haswa wakati Huu Wa misimu ya ramadhan Na kwaresma. Wakiongozwa Na Askofu Wa kanisa katoliki Malindi Willy lagho viongozi hao kutoka Dini za kiislamu Na Kikristo wamesema kuwa Kuna haja ya wakenya kuishi Kwa Amani. Wanasema huu Ni wakati Wa kuombea Kenya kutokana na misuko Suko ya kisiasa ambayo inashuhudiwa...Ni kauli ambayo imeungwa mkono Na Sheik Masoud Ali ambaye Ni mwenyekiti Wa Baraza la maimamu Malindi akiwataka wakenya kusuluhisha mizozo Yao Kwa njia YA Amani...