Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Linda mwananchi wamshambulia William Ruto kwa kuvuruga mikutano ya siasa nchini

  • | Citizen TV
    41,808 views
    Duration: 3:20
    Mkutano wa mrengo wa Linda Mwananchi ulifanyika huko Kakamega licha ya kuwepo kwa hofu ya ghasia kuzuka. Viongozi wa Mrengo huo wakishikilia kwamba wataendelea kupigania haki za Wakenya na kwamba katu hawatojihusisha na Serikali ya Rais William Ruto na Mrengo wa Linda Ground wa chama cha ODM. Viongozi hao wameilaumu serikali Kwa machafuko na mauaji nchini pamoja na kuvuruga mikutano yao ya kisiasa