Skip to main content
Skip to main content

Timu ya voliboli ya A-Plus yashiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza

  • | Citizen TV
    156 views
    Duration: 2:56
    Timu ya voliboli ya a-plus itasaka ushindi wake wa kwanza kwenye ligi kuu ya wanawake itakapochuana na dci hapo kesho katika uwanja wa kasarani.wageni hao ligini watakuwa na kibarua kigumu dhidi ya dci ambao hawajapoteza mechi yoyote kufikia sasa.