Skip to main content
Skip to main content

Kaunti tano zaibuka vinara katika orodha ya kaunti zinazofanya vyema zaidi katika uundaji wa ajira

  • | NTV Video
    316 views
    Duration: 3:21
    Ripoti mpya ya Bodi ya Ruwaza ya mwaka 2030 ya Kenya imeonyesha kuwa kaunti za Murang’a, Nakuru, Kiambu, Kisumu na Meru zimeibuka vinara katika orodha ya kaunti zinazofanya vyema zaidi katika uundaji wa ajira. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya