Skip to main content
Skip to main content

Trump atetea serikali yake, lakini wabunge wa upinzani wamzoma

  • | BBC Swahili
    9,069 views
    Duration: 8:45
    Rais Donald Trump amejisifu kuhusu mafanikio yake mwenyewe na kuwashambulia wapinzani wake kwenye hotuba yake kwa taifa. Katika hotuba hiyo, Trump amesema Marekani imerejea kwa kishindo kuwa nchi bora zaidi, tajiri zaidi na yenye nguvu zaidi kuliko hapo awali. Rais huyo alizomewa na baadhi ya wabunge kutoka chama pinzani cha Democratic. #DiraYaDuniaTV