WASHINGTON BUREAU - BIDEN AJIPATIA USHINDI KATIKA BUNGE LA SENETI MAREKANI

  • | VOA Swahili
    354 views
    Seneta Mdemocrat Raphael Warnock amemshinda mpinzani wake Mrepublican Herschel Walker katika uchaguzi wa marudio katika jimbo la Georgia Jumanne, na kuwahakikishia wademocrat wingi katika baraza la Seneti kwa kipindi kilichobaki cha muhula wa Rais Joe Biden, na kwa hivyo kusaidia kubainisha ushindi ambao si mkubwa wa Republican katikati ya awamu ambao wameupata katika Baraza la Wawakilishi #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.