Skip to main content
Skip to main content

Walemavu wapewa nafasi kuendesha na kuongoza ibada

  • | Citizen TV
    151 views
    Duration: 2:50
    Kwa kawaida, jumapili huwa siku ya ibada ambapo waumini hujumuika kwenye makanisa mbalimbali kwa ibada ambazo huendeshwa kwa lugha mbalimbali. Mambo hata hivyo yamekuwa tofauti kwa waumini walemavu katika kanisa la PCEA Kariabangi ambako leo wamefanya ibada ya kipekee