Skip to main content
Skip to main content

Shule zafunguliwa kwa mhula wa tatu | Wazazi walalamikia kuchelewa kwa mgao wa wanafunzi

  • | Citizen TV
    1,028 views
    Duration: 2:44
    Shule zimefunguliwa kwa muhula wa tatu hii leo huku wazazi wakielezea wasiwasi kuhusiana na kucheleweshwa kwa mgao wa wanafunzi. Hata hivyo, imekuwa siku iliyokuwa na pilka pilka nyingi nchini huku wanafunzi wakirejea shule sehemu mbalimbali nchini