- 5,658 viewsIdadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi nchini Uturuki na Syria imeogezeka na kufikia 17,000, wengine wengi wakiwa bado wamefunikwa na vifusi wakati juhudi za uokoaji zikiendelea. Watanzania wa kada mbalimbali watoa maoni tofauti juu ya mchakato wa katiba nchini humo ambao umetangazwa kuanza katika siku za usoni. ..... #voaswahili #voa #dunianileo #tetemekolaardhi #uturuki #syria Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
Duniani Leo Februari 09, 2023: Tetemeko la Ardhi: Idadi ya waliofariki Uturuki na Syria yaongezeka
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| News Now ››
- 6 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenya Pipeline clinched bronze medal at the CAVB African Women’s Club Championship after defeating KCB in an all-Kenyan third-place play-off […]
- 6 May 2024 - Reading Time: < 1 minute Two informal settlements in Kisumu will benefit from a modern sanitation project that will cost Sh19.5 million. Manyatta and Obunga […]
- 6 May 2024 - Reading Time: 3 minutes Kenya through the Kenya Medical Research Institute (Kemri) has started to establish its reference DNA database to help the country […]
- 6 May 2024 - Nurses could join the ongoing medics strike if the Salaries and Remuneration Commission (SRC) does not implement the Collective Bargaining Agreement in the next week.
- 6 May 2024 - Ghana’s Asante King on Wednesday displayed for the first time dozens of royal artefacts looted during colonial rule, after they were returned by British museums on a long-term loan as part of his silver jubilee celebrations.
- 6 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenya’s 4x400m team led by Africa’s fastest man Ferdinand Omanyala was among the 23 nations, who failed to qualify for […]
- 6 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Makini School has instituted legal action against a parent for alleged defamation. The learning institution said it attempted to address […]
- 6 May 2024 - Reading Time: 4 minutes Opposition leader and former Prime Minister Raila Odinga’s chances in his bid for the African Union Commission (AUC) chairmanship position, […]
- 6 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Shabana FC resisted the relegation battle in their favour after registering a hard-fought 1-0 Football Kenya Federation (FKF) Premier League […]
- 6 May 2024 - Civil Society Organizations and other stakeholders are urging the government to increase budgetary allocation for HIV prevention or risk losing the gains made over the years. They argued that Kenya has made significant strides in the war against HIV/AIDS…